THERESIA KOMBA ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE MOSHI-MJIN

MOSHI-KILIMANJARO

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Chama cha mapinduzi (CCM), Wilaya ya Moshi Mjini Theresia Komba, akikabidhiwa fomu na Katibu wa CCM Wilaya ya Moshi Mjini Frida Kaaya, kuomba ridhaa ya Chama  kuwania ubunge wa Jimbo la Moshi Mjini  mkoa wa Kilimanjaro.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.