WATUMISHI WA MAMLAKA YA MAJISAFI NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA MOSHI (MUWSA)WASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI MEI MOSI-2025

Wafanyakazi kutoka Mamlaka ya Majisafi na Utunzaji wa Mazingira Moshi (MUWSA), wakiongozwa na  Afisa Mawasiliano na Uhusiano wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Moshi (MUWSA) Flora Nguma wamejitokeza kwa wingi kuonesha mshikamano wao katika kutambua mchango mkubwa wanaoutoa  kwa jamii.










Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.